KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, August 10, 2015

HAMMER Q AJA NA VIJUMBA JUMBA



Ni Mr & Mrs Hammer Q katika nyimbo Mpya waliyoipa jina la "Vijumba Jumba".

Ni nyimbo Tamu, Nyimbo nzuri iliyo tofauti kabisa na Miondoko ya Taarabu za hivi sasa, ni Taarabu asilia iliyoimbwa na watu wawili Mr & Mrs, wakiimba kwa kupokezana, utaipenda.

Hammer Q ameongea na blog hii ya taarabuzetu.blogspot.com na kusema yupo katika mkakati kabambe wa kurudisha Taarabu asilia ile Taarabu ya kipindi kileee...!!

Ni nyimbo nzuri kusikiliza na Familia yako, Sherehe na Popote pale unaisikiliza kwa raha zako.

IMETOLEWA KUTOKA BLOGU YA TAARABUZETU