KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Saturday, November 21, 2015

PICHA YA KIHISTORIA KWA WATANZANIA, HAIJAWAHI KUTOKEA NA PENGINE HAITAKUJA KUTOKEA AFRIKA

RAIS John Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na marais wastaafu, wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete baada ya kulihutubia na kulizindua jana mjini Dodoma.

1 comment: