KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Saturday, February 1, 2014

KHADIJA KOPA ATIKISA MBEYA

Mwimbaji nyota wa kikundi cha taarab cha Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Omar Kopa akiimba wakati wa onyesho lililofanyika kwenye ukumbi wa City Pub mjini Mbeya.
Waimbaji taarab wa TOT wakiwa kazini kwenye ukumbi wa City Pub mjini Mbeya.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Naye Nnauye naye alikuwepo. Hapa akimpongeza Khadija kwa uimbaji wake.
Mashabiki wa taarab wakiselebuka wakati kikundi cha TOT kilipokuwa kikitoa burudani kwenye ukumbi wa City Pub, Mbeya