KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, January 27, 2014

PENZI MARIDHAWA LA HAMMER Q NA SALHA

HAWA ni waimbaji nyota wa nyimbo za muziki wa taarab, Hammer Q na Salha. Kuna wakati walikuwa kundi moja la Dar Modern Taarab. Baadaye Hammer Q alihama na kwenda Five Stars Modern Taarab. Walifunga ndoa mwaka jana. Kumbe walianza mapenzi tangu zamani kabla ya Salha kuolewa. Alipoachika wakaamua kukumbusha ya zamani, lakini si kwa kuibia bali kufunga ndoa. Nimeipenda picha yenu na hongereni sana. Kusema kweli mnapendeza. Hayo macho ya Salha usiseme.

No comments:

Post a Comment